Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amekutana na makundi
mbalimbali yaliyoshiriki katika kampeni za uchaguzi na kutangaza rasmi
kupiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi ili kulinda na
kuviendeleza viwanda vya hapa nchini.
Rais John Pombe Joseph Magufuli akiongea na baadhi ya makundi
yaliyoshiriki naye kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 aliowaita
kuwashukuru Ikulu jijini Dar es salaam February 18, 2016.
|
baadhi ya makundi yaliyoshiriki na Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
kwenye kampeni ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015
|
0 comments:
Post a Comment