Watu wawili wamefariki dunia na mmoja
amejeruhiwa ajali 3 katika kipindi cha sikukuu ya krismas katika Mkoa wa
mjini Magharibi.
Mkuu wa kitengo cha usalama
barabarani cha jeshi la polisi Yusuph Daniel Yusuph vyanzo vya ajali hizo ni
madereva kutofuata sheria na taratibu za barabara zilizowekwa.
kwa mujibu wa kitengo hicho pia makosa
210 ya vyombo vya moto yameripotiwa katika kipindi hicho.
Akizungumzia
kuhusu makosa hayo ni pamoja na dereva kuendesha gari akiwa amelewa,
kutopasisha vyombo na kutozingatia sheria barabarani.
0 comments:
Post a Comment