December 12, 2015


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli amewaapisha Mawaziri na naibu mawarizi wapya aliowateuwa hivi karibuni.
Hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa serikali.
Dkt Magufuli katika baraza lake la mawaziri kuna wizara 18 ambazo zitakazo ongozwa na mawaziri 19 na naibu mawaziri 15 lakini hadi sasa  kuna wizara hazijapata mawaziri ikiwemo wizara ya ujenzi,uchukuzi na mawasiano, wizara ya fedha na mipango, wizara ya utalii na wizara ya elimu.



0 comments:

Post a Comment