December 05, 2015

Balozi Seif akimkabidhi Cheti Maalum Asha Issa Juma wa Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afya akiwa Mhitimu bora wa Fani ya Afya Kinywa na Meno mwaka 2015.
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afya Mbweni Dr. Abdulla Ismail Kanduru  kushoto akiteta na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyemuwakilisha Rais wa Zanzibar kwenye mahafali ya 22 ya Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afra Mbweni.




0 comments:

Post a Comment