Professa Ibrahim
Lipumba na wenzake 31 wameachiwa huru katika Mahakama ya Kisutu baada ya kesi
iliyokuwa inawakabili kufutwa asubuhi hii.
Lipumba
alikuwa anakabiliwa na mashtaka ya kufanya mkusanyiko bila ya kuwa na kibali
cha Polisi lakini imefutwa baada ya DPP kuileleza mahakama kuwa hana nia
tena ya kuendelea na kesi hiyo..
0 comments:
Post a Comment