Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Dkt.John Pombe Magufuli katika kasi yake ya
kutumbua majipu hatimaye,amevunja bodi yote ya Bandari na kutengua uteuzi wa
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa bandari Awadhi Massawe (Pichani), Mwenyekiti wa
bodi ya bandari pamoja maofisa 8 wa bandari .Ameagiza wote wawekwe chini
ya ulinzi kwa ajili ya uchunguzi
Rais pia amemsimamisha kazi katibu mkuu wizara
ya uchukuzi Bw.Shabani Mwinjaka.
0 comments:
Post a Comment