Friday, December 04, 2015 by zenjkijiwe
|
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli kulia
akifurahia jambo na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Balozi Seif ali Iddi aliyefika ikulu kwa ajili ya mazungumzo leo jijini Dar es
salaam..
|
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Balozi Seif Iddi baada ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini
Dar es salaam Desemba 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
0 comments:
Post a Comment