Thursday, November 19, 2015 by zenjkijiwe
Dr Tulia Ackson Mwansasu wa CCM amechaguliwa kuwa naibu Spika wa bunge la Tanzania kuwa ameshinda kwa kura 250 sawa na asilimia
71.2 za wabunge dhidi ya mpinzani wake Magdalena
Sakaya wa CUF aliepata kura 101 sawa na asilimia 28.8 ya kura.
0 comments:
Post a Comment