zenjkijiwe
..
Home
Delicacy is another free premium blogger template.
November 30, 2015
Rais Magufuli akutana na Mabalozi wa China na Korea Kusini.
Monday, November 30, 2015 by zenjkijiwe
No comments
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing alipofika Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Korea ya Kusini hapa nchini Mhe. Chung IL Ikulu jijini Dar es salaam.
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Follow me
Popular Posts
Wizara ya Afya Zanzibar yapokea vifaa vya hospitali
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na sekta binafsi za kuwasaidia wananchi miradi mba...
Viongozi wa majimbo wasaidieni wananchi walioathirika na mvua za Masika.
Viongozi wa majimbo pamoja na watu wengine wenye uwezo, wamehimizwa kuendelea kuwasaidia wananchi walioathirika na mvua za masika zinazoe...
Dkt Shein suala la kurejewa uchaguzi wa Zanzibar halina mjadala.
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein amesema suala la kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar halina njia ya mkato hivyo...
Benki ya ADB yatoa mkopo wa bilioni 750 kwa Tanzania
Wizara ya Fedha na Benki ya Maendeleo Afrika(ADB) zimesaini mikataba yakuikopesha Tanzania shilingi bilioni 750 kwa ajili ya utekelezaji...
Balozi Seif afariji familia askari aneiongoza misafara ya viongozi wakuu wa Kitaifa.
Jeshi la Polisi Nchini limeelezea faraja yake kutokana na mfumo wa Viongozi wa Kitaifa kuonyesha muelekeo wa kuwajali watumishi wao kuto...
Powered by
Blogger
.
kuhusu blog
blog hii ni ya masuala ya kijami na maendeleo
www.zenjkijiwe.blogspot.com
zenjkijiwe5@gmail.com
0 comments:
Post a Comment