Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha
Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli na kumpongeza kwa hotuba nzuri iliyoweka
mwelekeo mpya wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Pia
Prof Lipumba amesifu na kuunga mkono Juhudi za Mhe Rais katika kupambana na
wakwepa kodi na wahujumu uchumi.
CCMblog
0 comments:
Post a Comment