Saturday, November 21, 2015 by zenjkijiwe
|
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo
kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya Mji Mkongwe wa Zanzibar Mussa Awesu Bakari wakati akiangalia ramani ya Mradi wa ujenzi wa
Ukuta wa Forodhani Mjini Unguja akiwa katika ziara maalum ya kutembelea maendeleo
ya Miradi mbali mbali Mjini Unguja.
|
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo ya
ramani ya ujenzi wa Mtaro wa maji ya Mvua katika viwanja wa mnazi mmoja kutoka
kwa Mhandisi wa Manispaa ya Zanzibar Mzee Khamis Juma wakati alipotembelea
mradi huo wa ujenzi unaojengwa na kampuni ya CRJ kutokaChina.
|
picha: ikulu
0 comments:
Post a Comment