STATE HOUSE ZANZIBAR
OFFICE OF THE PRESS SECRETARY
PRESS RELEASE
Zanzibar 25 Aprili, 2014
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameitaka Wizara ya Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na Watoto kuwa na mapango mbadala kugharimia miradi inayotekelezwa kwa ufadhili.
Akikamilisha mjadala wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpangokazi wa Wziara hiyo Dk. Shein alisema ni vyema kwa Wizara kujiandaa kwa kuweka utaratibu wa kutenga fedha katika bajeti yake ya kila mwaka hatua kwa hatua kupunguza utegemezi kutoka kwa wafadhili.
Katika kikao hicho Dk. Shein aliikumbusha Wizara hiyo kuweka vigezo maalum katika kuteua wajasiriamali wanaowakilisha Zanzibar katika maonesho mbalimbali ili kuhakikisha kuwa uwakilishi wa Zanzibar katika maonesho hayo unakuwa bora na wenye ushindani.
Kwa upande wake Mshauri wa Rais masuala ya Uwezeshaji Bwana Abdulrahman Mwinyimbegu alieleza haja ya wizara hiyo kuimarisha utoaji elimu kuhusu usajili wa vikundi vya wajasiriamali ili wajasiriamali hao waweze kukidhi masharti ya kupata mikopo ya vikundi.
Katika maelezo yake ya awali katika kikao hicho yaliyosomwa kwa niaba yake na Katibu Mkuu Bibi Asha Ali Abdalla, Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na Watoto Bibi Zainab Omar Mohamed alisema kuwa pamoja na Wizara kuweza kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi katika kipindi husika lakini inakabiliwa na changamoto mbalimbali.
Alizitaja changamoto hizo kuwa ni pamoja na mahitaji makubwa ya masuala ya uwezeshaji na huduma za hifadhi ya jamii ikilinganishwa na uwezo uliopo, na uhaba wa watumishi wenye sifa.
Alieleza kuwa katika cha Julai 2013 na Machi 2014 Wizara yake, kwa kushirikiana na wadau wengine, imeendelea na kampeni yake ya kupiga vita vitendo vya udhalilishaji wa jinsia.
Katika kufanya hivyo alibainisha kuwa mbali ya Wizara kuunda Kamati ya Kitaifa ya Kupambana na vitendo hivyo lakini pia imekuwa ikizijengea uwezo Kamati za Kupambana na udhalilishaji huo na kuongeza kasi ya kutoa elimu ikiwemo kupitia vyombo vya habari kuhusu athari za vitendo hivyo kwa jamii.
Aliongeza kuwa katika kipindi cha miezi tisa iliyopita, Wizara imekamilisha uandaaji wa Sheria ya Kuanzisha Baraza la Vijana ambapo hivi sasa Wizara iko mbioni kuandaa kanuni za Sheria hiyo ili Baraza hilo liweze kuanzishwa rasmi na kuchukua nafasi yake.
Akiwasilisha utekelezaji wa Mpangokazi wa Wizara hiyo, Katibu Mkuu Bi. Asha Ali Abdalla alieleza kuwa katika maonesho ya Wiki ya Uwezeshaji yaliyoandaliwa na Wizara yake jumla ya bidhaa 10 ziliweza kupata ufadhili wa kutengeneza utambulisho wake ‘barcode’ ili kuziwezesha kuingia rasmi katika soko.
Bi. Asha aliongeza kuwa katika kipindi hicho Wizara iliweza pia kuwawezesha wajasiriamali 50 kushiriki Maonesho ya Wajasiriamali Wadogowadogo maarufu kwa jina la Jua Kali huko Kenya.
Alifafanua kuwa mafunzo mbalimbali ya kuwajengea uwezo wajasiriamali yameendelea kutolewa na Wizara inaendelea pia na mchakato wa kutambua vikundi vya ushirika kwa lengo la kuvijengea uwezo na kuviwezesha kufaidika na huduma zitolewazo na Serikali.
Taarifa hiyo ya Katibu Mkuu ilionesha pia kuwa zoezi la ukaguzi wa vyama vya ushirika linalofanywa na Wizara hiyo ilibainisha kuongezeka kwa usahihi wa mapato na ongezeko la mitaji ya vyama pamoja na kuimarika kwa udhibiti wa matumizi.
salamu kwa kila moja, i am Bi juliana bety EFCC katika umoja hali ya Marekani, i wanataka kutumia kati ya kuwajulisha wote wanaotafuta mkopo kuwa makini sana kwa sababu kuna scammers everywhere.I mara kifedha strained, na kutokana na kukata tamaa yangu alikuwa scammed na wakopeshaji kadhaa online. Mimi alikuwa karibu wamepoteza matumaini mpaka rafiki yangu inajulikana mimi Taasisi ya kuaminika sana kuitwa Bibi Susan MUNROE ambao tafadhali niazime mkopo unsecured ya $ 85,000 chini ya 2hours bila stress.If yoyote wewe ni katika haja ya aina yoyote ya mkopo tu kuwasiliana naye sasa kupitia : susanmunroeloanfirm77@hotmail.com, kumshukuru mungu kwa sababu ya huruma yake, kumshukuru Bibi susanmunroe kwa wema wake na msaada yeye kumlipa family.i yangu kuomba kwamba mungu kumbariki.
ReplyDeleteNatalie Cuttaia
ReplyDeleteSiwezi kuficha ushahidi huu mkubwa yanayotokea katika maisha yangu mimi upendo kila mtu kujua na kuwa na mshirika kwamba ni kwa nini mimi daima mahali ni juu ya jibu, mimi Bibi, Natalie Cuttaia kwa jina, mimi kuishi katika Texas, Umoja wa Nchi Of America, nataka kuwashukuru (Mr Richard Raymond) kwa wema wake juu ya maisha ya familia yangu.
Sikujua kwamba bado kuna ni nzuri Taasisi kama hii kwenye mtandao na duniani hapa. Baadhi tu Miezi Back, nilikuwa katika kutafuta mkopo wa $ 100,000,00 kama mimi nilikuwa mbio nje ya fedha kwa ajili ya chakula na kodi. Mimi nilikuwa scammed $ 6,800 Dola na niliamua si kuhusisha yangu binafsi katika biashara hiyo tena lakini Friend yangu ilianzisha mimi kwa kampuni mkopo kutokana na muonekano wangu na matendo.
Na mimi kumwambia kuwa mimi si nia ya mpango wowote mkopo tena lakini yeye aliniambia kuwa bado kuna Taasisi nzuri nani atakuwa kupendekeza mimi, na mimi alifanya kesi na mimi zaidi kushukuru bahati mimi leo, nilipewa kiasi cha mkopo wa $ 100,000.00usd, na Kampuni hii kubwa (Bruce Brandon Loan Company) kusimamiwa na (Mr.Bruce Brandon) Kama wewe ni katika haja ya kweli au legit mkopo au msaada wa kifedha na unaweza kuwa kuaminika na kuaminiwa ya uwezo wa kulipa nyuma kwa wakati kutokana wa fedha nami ushauri wewe, kuwasiliana naye kupitia: (bruce.brandon071@gmail.com) Na utakuwa huru kutoka scams katika internet.
All shukrani kwa Mr.Bruce Brandon Wewe ni mmoja ambaye kuondoa mimi na familia yangu kutoka katika umaskini. Sababu i am kufanya hii ni kwamba, i ahadi Mr.Bruce Brandon kwamba kama i kweli got mkopo wangu, i itakuwa advertize kampuni yake na kuleta wateja kwa kampuni yake. Kuwasiliana naye kupitia (citiloanfinancelimited@gmail.com) kwa ajili ya mikopo ya umekuwa kutafuta kwa ..
Hello Everybody,
ReplyDeleteMy name is Mrs Sharon Sim. I live in Singapore and i am a happy woman today? and i told my self that any lender that rescue my family from our poor situation, i will refer any person that is looking for loan to him, he gave me happiness to me and my family, i was in need of a loan of S$250,000.00 to start my life all over as i am a single mother with 3 kids I met this honest and GOD fearing man loan lender that help me with a loan of S$250,000.00 SG. Dollar, he is a GOD fearing man, if you are in need of loan and you will pay back the loan please contact him tell him that is Mrs Sharon, that refer you to him. contact Dr Purva Pius,via email:(urgentloan22@gmail.com) Thank you.
BORROWERS APPLICATION DETAILS
1. Name Of Applicant in Full:……..
2. Telephone Numbers:……….
3. Address and Location:…….
4. Amount in request………..
5. Repayment Period:………..
6. Purpose Of Loan………….
7. country…………………
8. phone…………………..
9. occupation………………
10.age/sex…………………
11.Monthly Income…………..
12.Email……………..
Regards.
Managements
Email Kindly Contact: urgentloan22@gmail.com