Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kimemteuwa
Dkt
Vicent Machinji kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chadema hicho.
Katika Kikao hicho cha Baraza Kuu, Freeman Mbowe alitangaza
jina la Dk. Machinji na kuungwa mkono na wajumbe wa baraza hilo, hivyo anajaza
nafasi iliyoachwa na Dk. Willibrod Slaa, aliyejienguwa ukatibu mkuu wa chama
hicho.
0 comments:
Post a Comment