Kaimu Balozi Mdogo wa India Govind Sharan Gupta ameungana na Wananchi
mbalimbali wenye asili ya India wanaoshi Zanzibar kuadhimsiha miaka 67 ya Uhuru
wa Jamhuri ya India.
Sherehe hiyo imefanyika katika
Ubalozi huo Migimbani mjini Zanzibar ambapo waliimba wimbo wa Taifa la India la
nchi hiyo.
|
Kaimu Balozi Mdogo wa India Govind Sharan Gupta
akipandisha Bendera ya India kuashiria kuifungua
sherehe ya Uhuru wa Jamuhuri ya India ya kutimiza
miaka 67 katika Sherehe iliofanyika katika
ubalozi huo Migombani
Zanzibar
|
|
Wananchi waliohudhuria katika hafla hiyo wakisherehekea
baada ya kupandishwa Bendera
ya Nchi ya India kuadhimisha
miaaka 67 ya Uhuru wa Jamhuri ya India iliyofanyika katika
Ubalozi huo Migimbani
mjini Zanzibar.
|
0 comments:
Post a Comment