Friday, January 01, 2016 by zenjkijiwe
 |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Katibu
Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati
wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu
na naibu katibu wakuu iliyofanyika katika
ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiongea na
Makatibu wakuu na Naibu Katibu wakuu baada ya
kusaini Hati ya Maadili ya Umma mara tu baada
ya
kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam
leo
January 1, 2016
|
0 comments:
Post a Comment