WATUHUMIWA nane wa upotevu wa makontena 349 yaliyovushwa
Bandarini ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi wamefikishwa katika Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo ili kujibu tuhuma zinazowakabili.
Miongoni mwa watuhumiwa hao ni pamoja na Kamishna wa Kodi na
Forodha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki
Washitakiwa wote wamerudishwa rumande hadi tarehe 17 Desemba kwa
kuwa mahakama hiyo haina uwezi wa kusikiliza wala kutoa
dhamana ya keshi hiyo.
0 comments:
Post a Comment