Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John
Pombe Magufuli amemsimamisha kazi kamishna Mkuu wa mamlaka ya Mapato Tanzania
TRA pamoja na kuwapiga marufu maafisa wakuu wote wa mamlaka hiyo kusafiri nje
ya nchi.
Maamuzi ameyatoa muda mfupi baada ya Waziri Mkuu Majaliwa Kasimu
Majaliwa kufanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam.November 27, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment