November 15, 2015

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa mapanga na watu wasio fahamika wakati akifanya kampeni za kumdadi diwani wake.
Taarifa zinasema kuwa  Mawazo ameshambuliwa zaidi sehemu mbalimali za mwili wake hasa kichwani amefariki akiwa hospitalini alipokimbizwa katika jitihada za kujaribu kuokoa maisha yake. 
Mawazo mwenyekiti huyo aliwahi kuwa Diwani wa Kata ya Sombetini Arusha. 
Mganga Mkuu Geita amethibitisha.

0 comments:

Post a Comment