
RAIS wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Msumbiji
na Tanzania ni nchi zenye historia katika uhusiano na ushirikiano wao hivyo
kuna haja ya kuendelezwa na kuimarishwa zaidi kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein aliyasema
hayo leo wakati wa mazungumzo kati...