September 07, 2016

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Msumbiji na Tanzania ni nchi zenye historia katika uhusiano na ushirikiano wao hivyo kuna haja ya kuendelezwa na kuimarishwa zaidi kwa manufaa ya pande mbili hizo. Dk. Shein aliyasema hayo leo wakati wa mazungumzo kati...
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeshauriwa kuanzisha mitaala itakayowafundisha wanafunzi mbinu za kujiepusha na vishawishi vya ngono vinavyoweza kuwaletea madhara na mbimba za umri mdogo. Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA) Fatma Iddi Ali, amesema...
Chuo cha Uongozi wa fedha Zanzibar (ZIFA) kiliandaa ziara ya siku moja ya mafunzo kwa wakulima wa mwani wa Chwaka kutembelea kikikundi cha Ushirika cha Tusife Moyo cha Kijiji cha Kidoti ambacho kimepiga hatua kubwa katika kusanifu zao hilo kwa ajili ya matumizi mbali mbali. Ziara hiyo  ni moja ya juhudi zinazochukuliwa...

August 24, 2016

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...