March 21, 2016

Tume ya Uchaguzi Zanzzibar ZEC  imemtangaza mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein kuwa Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuibuka na ushindi kura 299, 982 sawa wa asilimia 91.4% ya kura zote zilizopigwa jna katika uchaguzi wa marudio uliofanyika jana.

0 comments:

Post a Comment