Makamu Mwenyekiti wa Mhama
cha Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Aohamed Ahein amelezea kusikitishwa na tukio la
uripuaji wa bomu katika maskani ya kisonge Aichenzani mjini Zanzibar.
Dr. Shein ambae pia ni
rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza Mapinduzi akiwa katika eneo la tukio
amelitaka jeshi la polisi kuimarisha ulinzi na kuwakamata waliohusika na tukio
hilo.
Amesema Serikali
haiwezi kutetereka kwa vitendo alivyoviita vya kihuni vinavyotishia amani ya
nchi na kujenga hofu kwa wananchi.
Dr. shein amesema vitendo
hivyo haviwezi kusitisha na kutisha wananchi wasiweze kupiga kura katika
uchaguzi wa marudio march 20 kukirudisha madarakani chama cha mapinduzi.
0 comments:
Post a Comment