November 20, 2015

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai aweamuru Wabunge Wabunge  wanaounga  umoja  wa  Katiba  Ya  Wananchi, UKAWA Kutoka Nje ya Bunge.
Hali hiyo Imetokana baada ya Wabunge hao Kupiga kelele Kipindi Viongozi wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Pamoja Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hasa Dr Ali Mohamed Shein bungeni  na  kuanza  kuzomea  huku  wakisema  Maalim Seif....Maalim Seif Wakiingia Bungeni
Spika  wa  Ndugai  amewataka  wabunge  hao waache kuzomea  na  badala  yake  kukaa chini  lakini  wakakaidi  na kuwaamuru  kutoka nje kwa  hiari  yao  kabla  nguvu  ya  dola  haijatumika  kuwatoa.

0 comments:

Post a Comment