November 17, 2015


Hatimaye Job Yustino Ndugai CCM amechaguliwa kuwa Spika wa bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura zilizopigwa akifuatiwa na mgombea wa CHADEMA Goodluck Ole Medeye ambaye amepata kura 109.
Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilona ameomba ushirikiano na wabunhge wote.

0 comments:

Post a Comment