November 13, 2015

Mkuu wa Kampuni ya VIGOR Kamal Kanal akimkabidhi maji safi na salama Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi  Abdallah Mwinyi kwa  ajili ya   wagonjwa waliolazwa  katika kambi kipindupindu Chumbuni.
 

Mkuu wa kambi ya  wagonjwa wa kipindupindu iliopo Chumbuni  Dkt. Ramadhani Mikidadi akitoa  maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi mara baada ya kuwatembelea wagonjwa waliolazwa katika kambi hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Mgharibi  Abdallah Mwinyi akizungumza na  madaktari wanaoshughulikia wagonjwa  wa kipindupindu mara baada ya kuwaangalia  wagonjwa waliolazwa kambini hapo.
(Maelezo Zanzibar).

0 comments:

Post a Comment