November 16, 2015


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu Dr Tulia Ackson Mwansasu na kumteua kuwa Mbunge.
Awali kabla ya uteuzi huo, Dr Tulia alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Jana Novemba 15, 2015 pia ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge.


0 comments:

Post a Comment