May 16, 2014

Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la  Anga (ICAO) Raymond Benjamin Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Kikwete akiongea na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la  Anga (ICAO) Raymond Benjamin, wakati alipofika Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi kuanzia Mei 14 hadi 18 Mei 2014.



 
 
 
michuzi

 

0 comments:

Post a Comment