![]() |
gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof Benno Ndulu |
Benki
kuu ya Tanzania BOT imezindua
taarifa ya matokeo ya utafiti wa matumizi ya huduma za kibenki ulionesha ukuaji
wa matumizi ya huduma za kibenki kwa njia ya simu.
Utafiti
huo uliofanywa na Mfuko wa kuendeleza sekta ya sera Tanzania katika mikoa ya Tanzania
bara na Zanzibar umebaini kuwa takribani kaya elfu nane zinatumia huduma hiyo.
Akizindua taarifa hiyo jijini Dar es Salaam Gavana
wa BOT Profesa Benno Ndulu amesema utafiti
huo hadi umeonesha watu wasiofikiwa na huduma hizo imepungua kutoka watu milioni kumi na moja hadi Milioni 6 katika mwaka uliopita.
Amefafanua kuwa tafiti hizo zimebaini kuwa wananchi wengi wameweka akiba katika simu zao na wengine hutumia huduma hiyo kwa kulipa malipo mbalimbali ikiwemo umeme na maji.

Amefafanua kuwa tafiti hizo zimebaini kuwa wananchi wengi wameweka akiba katika simu zao na wengine hutumia huduma hiyo kwa kulipa malipo mbalimbali ikiwemo umeme na maji.

Hata
hivyo profess Ndulu amesema bado maeneo mengi
ya vijijini hawajafikiw ana huduma za kinenki kikamilifu kutokana na matatizo
ya miundo mbinu ya mawasiliano ya ya simu.
huduma za kibenki kwa simuu za kuwa tanzania
0 comments:
Post a Comment