Mkutano
huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa
wiki mjini Maputo.
Mkutano
huo uliofanyika wiki iliyopita ulijadili masuala ya kutatua changamoto
mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi
ya viongozi wa vyama hivyo vya siasa waliohudhuria ni pamoja na Mwenyekiti wa
ANC ya Afrika Kusini Rais Jacob Zuma, Mwenyekiti wa FRELIMO ya Msumbiji Rais
Filipe Nyusi, Mwenyekiti wa SWAPO ya Namibia Rais Hage Geingob pamoja na Kinana
na ujumbe wake akiwemo Katibu wa NEC anayeshughulikia Siasa na Mambo ya Nje Dkt.
Asha-Rose Migiro pamoja na Makatibu Wakuu wa Jumuiya za CCM.
0 comments:
Post a Comment