Mashirika ya umoja wa Mataifa yamepongezwa kwa
kusaidia kusukuma maendeleo ya elimu kwa wanafunzi Zanzibar.
Afisa utumishi Mkoa wa kaskazini Pemba Kassim
Mohamed Abass amesema serikali
imeridhishwa na klabu hizo zinavyosaidia kuwajenga wanafunzi na kuweka tayari
kukabiliana na changamoto za utandawazi ikiwemo suala la ajira.
Amesema kutokanana mafanikio
hayo kwa kundi kubwa la vijana serikali ya mkoa huo itatoa mchango wake katika
mpango huo katika skuli nyegine za Pemba.
Amewaambia wanachama wa klabu hizo wakati akipokea chetu cha
heshima kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo kwa ajili ya kushawishi kuanzishwa klabu
nyengine.
Mtaribu wa jumuiya ya vijana ya UN Zanzibar kanda ya Pemba Mohamed
Hassan Ali amesema klabu hizo zinalenga kuwashajihisha vijana kuanzisha vikundi vya ushirika kubuni miradi
baada ya kuonekana tatizo kubwa la ajira kwa vijana.
Mashirika ya umoja wa Mataifa yamepongezwa kwa
kusaidia kusukuma maendeleo ya elimu kwa wanafunzi Zanzibar.
Afisa utumishi Mkoa wa kaskazini Pemba Kassim
Mohamed Abass amesema serikali
imeridhishwa na klabu hizo zinavyosaidia kuwajenga wanafunzi na kuweka tayari
kukabiliana na changamoto za utandawazi ikiwemo suala la ajira.
Amesema kutokanana mafanikio
hayo kwa kundi kubwa la vijana serikali ya mkoa huo itatoa mchango wake katika
mpango huo katika skuli nyegine za Pemba.
Amewaambia wanachama wa klabu hizo wakati akipokea chetu cha
heshima kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo kwa ajili ya kushawishi kuanzishwa klabu
nyengine.
Mtaribu wa jumuiya ya vijana ya UN Zanzibar kanda ya Pemba Mohamed
Hassan Ali amesema klabu hizo zinalenga kuwashajihisha vijana kuanzisha vikundi vya ushirika kubuni miradi
baada ya kuonekana tatizo kubwa la ajira kwa vijana.
UN yapongezwa kwa kusaidia elimu Zanzibar
UN yapongezwa kwa kusaidia elimu Zanzibar
0 comments:
Post a Comment