Monday, December 14, 2015 by zenjkijiwe
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
Akisalimiana na Balozi wa
Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika
Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo. Katika Mazungumzo
hayo
Balozi Yoshida amempongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa
kuiongoza Tanzania na pia amezungumzia miradi mbalimbali
inayofadhiliwa na Japan hapa nchini.
|
|
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe.
Samia Suluhu Hassan, akiagana na Balozi wa Cuba nchini Tanzania,
Mhe.
Jorge Luis Lopez, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika
Ofisini kwa Mhe Makamu, Ikulu jijini Dar es
Salaam,
leo
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo.
|
|
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe.
Samia Suluhu Hassan, akiagana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania,
Mhe.
Yasemin Eralp, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika
Ofisini
kwa Mhe Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam,
leo
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo.
|
0 comments:
Post a Comment