Jumla
ya watu ishirini na nane wamefikisha mahakamani kwa kosa la kutumia madawa ya
kulevya katika maeneo mbalimbali.
Kati wa watumiwa wamekutwa na nyongo za bangi 120 katika operesheni ya
jeshi la polisi la mkoa wa Mjini magharibi ya kudhibiti vitendo vya uhalifu
kupambana na vijana wanaouza madawa ya kulevya katika jamii.
Kamanda polisi wa mkoa huo Mkadam Khamis Mkadam amesema pia maiti tatu zimeokotwa katika maeneo ya Bandari
ya Malindi na katika kisiwa cha Chumbe.
Amewataka wananchi kushirikiana na polisi
kutoa matokeo ya uhalifu katika shehia ili kudhibiti vitendo hivyo visiweze
kutokea katika jamii.
0 comments:
Post a Comment