Jumuiya hiyo imeanda mradi wa
kuwaendeleza kielimu watoto yatima 400 kisiwani humo ili kuondokana na hali
ngumu ya maisha.
Akizungumza katkika kikao cha
masheha na viongozi wa jumuiya hiyo afisa tawala Mkoa wa Kaskazini Pemba Khamis
Salim Mohammed amesema zoezi hilo lita fanikiwa iwapo masheha kwa vile watoto
hao wanaishi kwenye shehia zao.
Hata hivyo amewataka masheha
hao kuzingatia vigezo utambuzi vinavyohitajika katika utambuzi huo na kuisifu
juhudi zinazochukuliwa kusaidia jamii hasa watoto hao wanaoishi katika
mazingira magumu pemba.
Nae Kwa upande wake
mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mohammed Suleiman Khalfan ameelezea kusikitishwa na
jamii.yatima 400 kusaidiwa pemba
0 comments:
Post a Comment