Ujenzi huo unatarajiwa kuanza Julai mwaka huu
na kumalizika April 2016 kwa ufadhili wa Serikali ya Japan kwa dola za
kimarekani million 9 na Serikali ya Zanzibar itachangia shilingi Million 391.
Mwenyekiti wa kamati hiyo Mlinde Mbarouk Juma amesema
ameridhishwa na matayarisho ya ujenzi wa diko na soko hilo la samaki.
Akitoa taarifa kwa kamati hiyo Mkurugenzi
wa Idara ya Maendeleo ya uvuvi Zanzibar Mussa Aboud Jumbe ameeleza kamati hiyo kuwa
ujenzi huo utakapokamilika wavuvi na wafanyabiashara wakatukwa na mazingira mazuri katika soko hilo linalotegemewa na wanachi
wengi wa mji wa Unguja.
0 comments:
Post a Comment